
Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya miradi ya maendeleo ya miundombinu iliyochini ya wizara ya fedha anautangazia umma juu ya upimaji na uuzwaji wa viwanja katika mji wa chalinze
Fomu za maombi zinapatikana katika matawi ya benki ya posta ya Azikiwe kwa mkoa wa dar es salaam na benki ya posta bagamoyo na chalinze kwa mkoa wa Pwani.
Pia maombi yanaweza kufanyika katika tovuti yetu ya
www.utt-pid.org
No comments:
Post a Comment